Kuihesabu Nafsi - 3
Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Kurejea: Shahidi Muhamad Zaid
Maelezo
Mada hii inazungumzia miongoni mwa kuihesabu nafsi ni kuihesab nafsi na kujuwa chanzo cha uovu wake, na kwanini inapata uzito wa kuswali! Kisha amezungumzia umuhimu wa kujuwa uhalali na uharamu wa vyakula vyetu, na kwamba mtu asie swali nikafiri.
- 1
MP3 10.3 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: