Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Audios

Idadi ya Vipengele: 269

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yasini Twaha Hassani

    Mada hii inazungumzia: Sheria ya kuoa wake zaidi ya mmoja na uadilifu katika kutekeleza haki za wake, na chanzo cha kukataa mke kuongezewa mke wa pili, na msimamo na subra kwa alie ongeza mke wa pili. 2- Mada hii inazungumzia:Utukufu wa ndoa na nasaha muhimu kwa mume katika kuoa, pia ndoa nisheria ya Allah, na pia inazungumzia malengo makuu ya sharia ya kiislam, ikiwemo kuhifadhi kizazi, na hukumu ya kuoa zaidi ya mke mmoja, na hukumu za kisheria katika kuoa wake zaidi ya mmoja.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia: Mbinu wanazozitumia maadui wa Uislamu lengo ni kuuchafua uislam, lazima watu waisafishe dini ya Allah (S.w), imezungumzia pia ubaya wa kundi la khawarij na uharamu wa kuua au kumwaga damu bila haki.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwafanyia wema wazazi wawili na hatari ya kuwaasi, pia ubora wa mke mwenye kuwapenda wazazi wa mumewe, na imezungumzia kisa cha mtu aliyemchinja mzazi wake baada ya muda na yeye akachinjwa na mwanae.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia:Kufanya juhudi ya kuyashinda matamanio na faida zake, na mwenye kuyashinda matamanio hawezi kuwa dhalili, imezungumzia pia hatari ya kuingiza matamanio katika dini (kuzua katika dini).

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia: Umuhimu wa biashara katika jamii na sharti zake na kwamba ni lazima kwa wafanya biashara kuwa na elimu ya biashara, pia imezungumzia maana ya biashara na kubainisha biashara yenye Baraka na biashara isiyo na barka.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kusimama na kuitangaza haki, na kwamba kuibanisha haki ni wajibu kwa wenye elimu na ni sababu ya msingi katika kuihifadhi dini na hukumu zake, imezungumzia pia namna Mtume (s.a.w) alivyoibainisha haki

  • Kiswahili

    MP3

    1-Mada hii inazungumzia:Faida ya malezi mema, na amezungumzia kuwa Allah ndio mwenye kutowa watoto, na amezungumzia misingi ya kupata mototo mwema ikiwemo kuchaguwa mke mwema,na Haki za mtoto baada ya kuzaliwa. 2-Mada hii inazungumzia: Ubora wa kuwasomesha Quraan, na Uhatari wa kutowasomesha watoto dini matokeo yake watoto wanakua hali ya kuwa hawajui yaliyo ya halali wala ya haram mpaka katika ndoa zao. 3-Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa elimu ya dini na Makosa ya wanawake wakati wa nifasi, na mtume kumtuma Muadhi kwenda Yemen ni mfano mwema wa malezi bora. 4-Mada hii inazungumzia: Kuenea kwa dhulma sababu kubwa ni kukosekana malezi mema, pia imezungumzia hatari ya kuvuta sigara na ulevi wa pombe. 5-Mada hii inazungumzia: Njia nne za kumfanya mtoto kuwa mwema, pia imezungumzia maadili na faida alizotufundisha Mtume (S.a.w)

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii ya sauti inazungumzia Ubora wa kumtaja Allah na Ibada ndogo zenye malipo mengi bishara ya mtume (s.a.w) kwamwenye kufanya dhikri, dhikri nikupandikiza mtende peponi.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii ya sauti inazungumzia uwajibu wa wanawake kujistiri na umuhimu wa kuvaa hijabu na malipo anayo pata mwenye kuvaa hijabu atika nchi za fitna.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia Sharti za Walii katka ndoa,katika yalio zungumzwa:Sharti za walii,na Umuhumu wa kuheshimu Ndoa,na wanavyo takiwa wawe wanandoa.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia makundi ya watu wanne watakao ingia peponi bila hesabu, na makundi ya watu wanne watakao ingia Motoni bila hesabu.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Nurdin Kishki Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazunguzia Matatizo ya vijana wa kiislam na tiba yake.

  • Kiswahili

    MP3

    1- Mada hii inazunguzia namna umma ulivyozama katika madhambi na tiba ya kuacha madhambi. 2- Mada hii inazungumzia baadhi ya njia zinazo msaidia mtu kuacha madhambi ikiwemo dua na kushindana na nafsi,na kujiepusha na marafii wabaya.

  • Kiswahili

    MP3

    1- Mada hii inazunguzia ubora wa kumtaja Allah na umuhimu wa kula kwa mkono wa kulia 2- Mada hii inazunguzia ubora wa kufanya dhikri Na malipo ya mwenye kufanya Dhikri. 3- Mada hii inazunguzia ubora wa kufanya dhikri kama alivyotufundisha Mtume (S.a.w) 4- Mada hii inazunguzia ubora wa kumtaja Allah, na asiyemtaja Allah ni sawa na mtu aliyekufa (Maiti)

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia Baadhi ya hali za watu wa motoni.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia Mwisho wa maisha ya mwanadamu na jinsi ya kujiandaa na Akhera.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia Maajabu ya watu wema walio tangulia.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia majibu kwa Mashia juu ya kusherehekeya kwao Krismas na hukumu ya kisheria ya uharam wa kusherehekea krismasi.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia kisa cha kusisimua cha mwanamke mwenye subra.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazunguzia namna ya kuutumia udhaifu katika kuupata ucha Mungu