Mada hii inazungumzia: Maswahaba aina saba waliosifiwa na Mtume (S.a.w) wa kwanza wao akiwa ni Abubakar Swidiq (R.a), pia imezungumzia uzito wa imani aliyokuwanayo Abubakar (R.a)
Mada hii inazungumzia: Mwenye kufanya liwatwi anapata laana ya Allah, na pia inazungumzia Malaika waliokwenda kuangamiza kaumu Lutwi (a.s) watu wa Nabii Lutwi..