Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Islamic Culture

Idadi ya Vipengele: 143

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia umuhimu wa kuanzisha na kuendeleza mashule na vyuo vya kislam,na umuhimu wa elimu kaika uislam,na elimu nisababu ya kufanikiwa,na udhaifu wa umma wa kiislam katika upande wa elimu.

  • Kiswahili

    LINK

    Tovuti hii ni kwa ajili ya watu wa dini mbalimbali wanaotaka kuufahamu Uislamu na Waislamu. Ina makala nyingi fupi, lakini zenye taarifa kuhusu vipengele mbalimbali vya Uislamu. Makala mpya huongezwa kila wiki. Pia, inaangazia Usaidizi wa Moja kwa Moja kupitiamaongezi.

  • Kiswahili

    PDF

    Mada hii inazungumzia fitna ya mpira wa miguu na Ramadhani na khasara ya kupoteza malipo ya mwezi mtukufu na kujishughulisha na kuangalia mpira.