- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Sorcery and Magic
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Islamic Prescribed Punishments
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Matters of New Muslim
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Virtues/Noble Characteristics
- Calling to Allah's Religion
- Current State of Calling to Allah's Religion
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Softening Hearts Reminders
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Arabic Language
- History
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Orientalism and Orientalists
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Curriculums
- Pulpit Sermons
- Academic lessons
- Books on Islamic Creed
- Knowledge
- Islamic Knowledge Source Texts
- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
- General Public of Muslims
Video
Idadi ya Vipengele: 1119
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Hatari ya mume kumdhalilisha na kumtukana mke na kwamba ni muhimu kuchunga mipaka na kumfanyia mazuri mke, pia imezungumzia ubora wa kujiepusha na kuangalia vitu visivyo halali yako.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayoleta utamu katika ndoa ni mwanaume kumshukuru mkewe kwa yale mazuri anayomfanyia, pia imezungumzia umuhimu wa wana ndoa kuwa na subra na uvumilivu.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayoleta utamu katika ndoa ni wana ndoa kusitiriana kutokana na mapungufu pamoja na kusifiana katika mazuri, pia imezungumzia umuhimu wa kuombana msamaha.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa utamu wa ndoa ni mwanamke kujipamba na tabasam pamoja na kumkumbusha mumewe mara kwa mara katika kutafuta rizki ya halali, na ayafanye hayo kwa ikhlas ili kupata radhi za Allah.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa tabia nzuri kwa mwanamume ndani ya nyumba, pia imezungumzia umuhimu wa mwanaume kuweka muda maalum kwa ajili ya kukaa nakujumuika na familia yake.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Usimamizi wa mwanaume juu ya mwanamke na ubora wa kuisoma ndoa kabla ya kuoa au kuolewa, pia imezungumzia umuhimu wa kumuiga Mtume (s.a.w) katika kutekeleza majukumu ya ndoa.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yenye kuleta utamu katika ndoa ni mwanamke kumtii mumewe, pia imezungumzia ukamilifu wa twaa na faida zake.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Aina za mashetani hatari kwa kuvunja ndoa za watu, na kwamba ni muhimu kwa wana ndoa kuchukua tahadhari juu ya mashetani hao, pia imezungumzia miongoni mwa mambo yanayoleta utamu katika ndoa.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Utamu wa ndoa, na kwamba ili mtu apate ladha na utamu wa ndoa sharti atafute mwanamke au mwanaume mwema, pia imezungumzia umuhimu kwa wanandoa kusameheana ktk ndoa.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Mapenzi ya Allah juu ya waja wake na kwamba siku ya Arafa ni sababu ya waja kurudi kwa Mola wao pamoja na kulia sana, pia imezungumzia siku ya Arafa Allah anakuwa karibu na waja wake.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Ubora wa siku ya Arafa na kwamba ni siku ya kutubia na kuomba dua pamoja na kufanya tasbihi sana, pia imezungumzia umuhimu wa kuwa na yakini na kuto kata tamaa kwani Rehma ya Allah ni pana.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Nguzo za Hijja na yaliyo wajibu kufanya katika Hijja, pia imezungumzia aina za Hijja na yanayo fungamana nazo.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Inazungumzia maana ya Arafa na Aya iliyoshuka kwa Mtume (s.a.w) alipokuwa Arafa, pia imezungumzia Arafa ni siku ambayo watu wanaachwa huru na moto.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Uzito na ubora wa siku ya Arafa na jinsi inavyo fanana na siku ya Qiyama pia nikwamba mwenye kufanya Hijja anatakiwa akithirishe kufanya toba, pia imezungumzia umuhimu wa kuendelea kufanya matendo mema baada Hijja.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Mwenye kufanya Hijja azingatie kila kipengele katika vipengele vya Hijja, pia imezungumzia kuchunga matendo ya Hijja, kukithirisha dua pamoja na kukumbuka Akhera (Qiyama)
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Mafungamano baina ya mkusanyiko wa siku za Hijja na siku ya Qiyama, pia imezungumzia anayefanya Hijja akumbuke mnasaba wa kumvisha sanda maiti na uvaaji wa ihram.
- Kiswahili Mhadhiri : Yusufu Abdi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Fadhila za Hijja na mapenzi ya Allah kwa waja wake na kwamba mwenye kufanya Hijja ya kweli malipo yake ni pepo, pia imezungumzia Hijja ni mazingatio kwa waja ili watu wasibaguane na wala wasidharauliane.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Hijja ni wito na kwamba ni muhimu kujitahidi kufanya ibada katika masiku ya Hijja nakumuomba Allah sana ili kupata radhi za Allah katika masiku yahija matukufu.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Siku ya Arafa na fadhila zake na kwamba Hijja haikamiliki bila ya kusimama Arafa na ni siku ambayo dua zinajibiwa, pia imezungumzia umuhimu wa kushukuru neema za Allah.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayofanywa katika siku za Minah nayo: kurusha mawe na kunyoa nywele nakuchinja, kisha amebainisha wakati anaotakiwa alhaji kuvuwa ihram, na inatakiwa kwa alhaji kukithirisha kumtaja Allah.